FIRST DRAFT.
Maamuzi yoyote kabla ya kufikiwa ni lazima kuna kauli mbalimbali zinatolewa ili kufikia lengo mahususi,
Kutoa kauli ni jambo kubwa sana ambalo linahitaji umakini mkubwa sana, kwani maneno yako yanaweza kuleta mabadiliko kwako na kwa mtu ambaye unamueleza, Kwa hiyo kutoa kauli sahihi au kuongea maneno sahihi kwa wakati sahihi husaidia sana kuleta mabadiliko. kwa hiyo unatakiwa kuwa makini sana unapo ongea mambo mbalimbali.
Unapo ongea kuna vitu lazima utambue kuna mambo yakuzingatia, moja ya mambo hayo ni kuzingatia kama mada hiyo ni ya wazi au si ya wazi (public or not).
Faida ya kuongea mambo ambayo ni sahihi husaidia mtu kuwa huru na kulinda utu na heshima na kukuza status yako.
Inatakiwa kuvi expose vitu ulivyonavyo ili watu wajue vitu
ulivyonavyo japokua ni lazima ujue kutenga vitu ambavyo ni hidden na vitu vya
wazi.
Pia unapotoa taarifa yoyote jitahidi kutoa taarifa ambayo ni sahihi na kuepuka kauli ambazo si sahihi kwa sababu UKWELI DAIMA HUMUWEKA MTU HURU.
Epuka kutoa taarifa ambazo hazijathibitishwa, Watu wengi hupenda kutoa taarifa ambazo wamesikia kwa watu wengine jambo ambalo si sahihi. Kimsingi unaweza ukathibitisha kauli ambazo si sahihi na kujikuta unapotosha na kujenga taswira mbaya.
Asante Sana.
Awadhi Chang'a.
Geographer -Environmentalist.
Asante Sana.
Awadhi Chang'a.
Geographer -Environmentalist.
No comments:
Post a Comment