UBUNIFU ni sifa kubwa sana za kukuwezesha mradi wako uendelee vizuri na kupata mafanikio kwa maana ili uweze kufanikisha mradi wako ni lazima uwe na jambo jipya ambalo watu watalipokea kwa muamko mkubwa kwa maana mambo mapya hupendwa zaid au huwa na soko kubwa sana.
Wajasiliamali/Wafanyabiashara wanashauliwa kuwa wabunifu kwa maana watapata masoko kwa bidhaa zao kwa sababu utakua peke yako kwa hiyo utapata wateja wengi sana tofauti na kufanya biashara ambazo kila mtu anazifanya katika eneo lako kwa hiyo itapunguza ushindani katika biashara na kukupa fursa wewe za kufanikiwa, kwa mfano ukifungua duka la nafaka sehemu ambayo kuna maduka ya nafaka ni kokosekana kwa UBUNIFU katika kazi zako kwa hiyo hutaendelea mbele zaid.
Wajasiliamali/Wafanyabiashara wanashauliwa kuwa wabunifu kwa maana watapata masoko kwa bidhaa zao kwa sababu utakua peke yako kwa hiyo utapata wateja wengi sana tofauti na kufanya biashara ambazo kila mtu anazifanya katika eneo lako kwa hiyo itapunguza ushindani katika biashara na kukupa fursa wewe za kufanikiwa, kwa mfano ukifungua duka la nafaka sehemu ambayo kuna maduka ya nafaka ni kokosekana kwa UBUNIFU katika kazi zako kwa hiyo hutaendelea mbele zaid.
Ubunifu unaweza kuupata wapi? au mambo yanayoweza kukusaidia kuwa mbunifu?, Kujifunza nchi za Nje au jirani wanafanya nini kwa wakati huu Mfano KUTEMBELEA NCHI ZA JIRANI, Ukweli wa mambo ni kwamba mambo mengi hutoka nchi za jirani na kuja kwetu Tanzania, kwa hiyo kilichofika Tanzania BASI NCHI ZA WENZETU KIMECHAKAA, Ni mambo machache ambayo huanzia hapa kwetu, asilimia kubwa yanatoka nje kwa hiyo jifunze ni nini wanafanya nchi za wenzetu afu unaweza ukapata ujuzi na kukuza maalifa juu ya kitu hicho na kukifanyia kazi.
VILE VILE kuboresha UBUNIFU wa mwenzio pia ni mbinu mojawapo ya kukuwezesha kutoka na kitu kipya ambacho kitakubaliwa na wakazi wote.
Kufanya TAFITI itasaidia sana kutoka na kitu kipya ambacho kitaleta manufaa kwako na mwisho kabisa ni KUJIELIMISHA kwa kusoma majarida, magazeti, kutumia mtandao/ internet, taarifa mbalimbali.
Kufanya TAFITI itasaidia sana kutoka na kitu kipya ambacho kitaleta manufaa kwako na mwisho kabisa ni KUJIELIMISHA kwa kusoma majarida, magazeti, kutumia mtandao/ internet, taarifa mbalimbali.
Kwa mfano mzuri kabisa, Fursa zilizopo sasa zinatoka kwenye Umoja wa Afrika Mashariki ambao kwa sasa wanalengo la kukuza mahusiano ya kiuchumi, kisiasa na kijamiii ambao wana muelekeo wa kuja kuwa kama taifa moja lililo ungana kiuchumi, kisiasa na kijammii. kwa hiyo watanzania wanatakiwa kutafuta UBUNIFU kutoka kwa majirani zetu ili kujiendeleza kiuchumi, milango ipo wazi sasa na kazi ni kwako KUTUMIA FURSA.
Asante;
Awadhi Chang'a
Geographer.
No comments:
Post a Comment