![]() |
| ben pol |
Saturday, March 30, 2013
Friday, March 29, 2013
SASA HARI INATISHA MAGOROFA YANAANGUKA TU UPEPO KIDOGO TU
PICHA ZA AJALI YA GOROFA LILOANGUKA
Imetokea
leo hii dakika Morogoro Road na Indira Gandhi (City Centre - Dar),
Inasemekana Watu wapatao 60 walikuwepo ndani yake.. watoto wa Madrassa
walikuwemo katika jengo hili na pia mpaka sasa maiti zilizoopolewa ni 14
na majeruhi zaidi ya 30 wamekimbizwa hospitali, Bado pia kuna baadhi ya
watu hai ndani yake.DIAMOND AWADATISHA MASHABIKI
ACHEZEA KICHAPO BAADA YA KUNYONYA CHUCHU ZA DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND KAZINI NA MADANCER WAKE
KUTOKA KWA OBAMA
WASANII WATANO WENYE MKWANJA MREFU 2013 KUTOKANA NA FORBES
Namba 2 imeenda
kwa Shawn Jay-z” Carter anamiliki dola milioni 475 na anaendelea
kushikilia hisa kwenye kampuni ya Roc Nation, Carol’s Daughter, Brooklyn
Nets na vitu vingine kikubwa zaidi ni Barclays Center yenyewe, pia
ameongeza ushirikiano na Duracell, Budweiser na Barcadi D’usse Cognac.
Namba 3 imeenda
kwa Andre “Dr Dre” Young anamiliki dola milioni 350, anashukuru sana
headphones zake za Beats By Dre. Mwaka mmoja baada ya kuuza asilimia 51
ya kampuni kwa watengenezaji wa simu HTC kwa dola milioni 300 uwezekaji
wao unaendelea kukua kwa faida kutokana na kufanya vizuri zaidi kwa
asilimia 65 kwa share nzuri ($99 na zaidi) katika soko la headphones.
Bryan “Birdman”
Williams anashikilia namba 4 na kamapuni yake ya Cash Money Young Money
inakuwa anamiliki dola milioni 150. YMCMB anapatikana Drake, Nicki
Minaj na Lil Wayne. Birdman pia kw sasa amezindua YMCMB clothing line
inafahamika na kinywaji kikali kinachofahamika kama GT Vodka.
Akifunga list
katika wasanii watano wenye mkwanjwa walitajwa na Forbes anashikilia
Namba 5 “Curtis “50 Cent” Jackson” anmiliki dola milioni 125. Mkwanja
wake huo unatokana na kuuza sana muziki wake, Biashara, video games na
vitabu vilivyotokana na album yake ya Get Rich Or Die Tryn” na uwekezaji
aliolipwa na Vitamin Water parent Glaceau kwa Coca cola mwaka 2007.
Wednesday, March 20, 2013
SIASA SASA SIO DILI KABISA BORA KURUDI SHAMBA TUKALIME
CHADEMA KUMBE NDIO MCHEZO WENU HUU,VIJANA KIMBIENI
KILIO CHA USALITI – PART TWO.
Wakati mwingine tunajikuta tunalazimika kuyasema hata yale ambayo
hatukupanga wala kufikiria kuyasema.,nimekuwa nikipigiwa simu na ndugu
zangu na rafiki zangu ambao bado wako chadema wakiniuliza kwanini
nimeamua kuyasema ninayoyasema, tena kwa lugha kama hii (inayobainisha),
nami nimekuwa nikiwajibu kuwa "hivi haiwi faraja kwenu kuwa yupo mmoja
aliyewahi kuwa mfano wenu anayetaka kuwaokoa na hatari yenye
kuangamiza..?
Nadhani wengi katika wao wamenielewa lakini nitazidi
kuwaeleweshaa wale ambao bado wanaubutu na kutu imejaa katika fikra na
mitazamo yao.
Nimeeleza juu ya kukanwa na usaliti uliofanywa
kwa LuDOVICK na nikaishia hapo, nikidhani kuwa itakuwa imetosha
kuwafungua mawazo na kuwasaidia vigezo na vipambanuzi vya kuwawezesha
kufanya maamuzi sahihi, maamuzi huru ambayo yatatokana na fikra
zinazojitawala za kila mmoja katika upekee wake, si fikra za mkumbo (mob
psychology) wala si fikra mgando na zilizosinyaa (dormant and dead
reasoning), lakini nitawaongeza na hili la leo kuyaamsha mawazo hayo
yaliyoganda na kuwafanya muishi kwa Uhai wa fikra Huru.
Napenda
nianze kwa kuwaambia kuwa si mara ya kwanza kwa viongozi wa Chadema
kuwakana wapambanaji wao na vijana waliokuwa wanajitolea hali na mali,
wanajitolea nafsi na uhai kuipigania Chadema. Nitawaambieni juu ya
wachache waliowahi kusalitiwa na kukanwa hadharani na vongozi waandamizi
wa chadema kama ifuatavyo:-
i) DEUS MALLYA:
Kwa mara ya
kwanza nakutana na DEUS ilikuwa ni mwaka 2007, nikiwa nimejiunga na chuo
kikuu cha Dar es salaam, ambapo nilishakuwa mwanachadema kabla ya
kuingia Chuo Kikuu, hivyo nilipofika chuo nilijaribu na kufanikiwa
kukutana na vijana wapambanaji wa Chadema hasa wale waliokuwa
wanatumikia Makao Makuu ndipo nilipokutana na DEUS MALLYA ambae alikuwa
akitumika katika kuchapisha mabango na vipeperushi ambavyo vilikuwa
vinabeba ujumbe wa Chadema na falsafa mbalimbali za Ukombozi ambazo
chadema ilikuwa ikinajinasbisha nazo.
Nilipokutana na DEUS tulipanga
na kupeana ushauri wa jinsi ya kueneza na kusambaza vipeperushi hivyo
na hatimae aliniunganisha na JOHN MNYIKA ambae kwa kipindi hicho alikuwa
ni Mkurugenzi wa Vijana na Afisa wake akiwa Marehemu Regia Mtema,
ambapo DEUS alikuwa ni mtu wa karibu na maafisa hao, hasa MNYIKA.
Na walikuwa pamoja na kufanya mambo mengi, ninayoyakumbuka ni pamoja na;
a) Safari ya DEUS mallya kuelekea LIBYA katika kongamano la vijana
akiwa muwakilishi wa vijanakutoka chadema chini ya usimamizi wa Mnyika.
b) Safari ya RUSSIA ambapo DEUS alinieleza kuwa alienda kwa mafunzo maalum.
Lakini Mnamo mwezi wa tisa (9) mwaka 2008, baada ya kutokea kwa kifo
cha kutetanisha cha Mheshimiwa CHACHA WANGWE ambapo DEUS alikuwa ni
Dereva na mshukiwa wa kwanza katika ajali ile, JOHN MNYIKA alimkana DEUS
mara mbili, mara ya kwanza ni pale apohojiwa na maafisa wa polisi juu
ya kijana DEUS akamkana, na mara ya pili alipokutana na vyombo vya
habari kuzungumzia sakata hilo akamkana kwa mara ya pili.
Hata
baada ya kesi ya DEUS kumalizika na kisha DEUS kuachiwa huru,
nilizungumza na DEUS juu ya kukanwa na MNYIKA na DEUS alinijibu kuwa
mshikaji alimuomba radhi na kumtaka asahau yaliyopita na DEUS alikiri
kumsamehe na imebaki hivyo mpaka hivi sasa (hili anaweza kulithibitisha
DEUS MALLYA mwenyewe kwakuwa yu-hai)
Lakini haikuishia kwa
MNYIKA pekee bali hata BENSON KIGAILA ambae ni Mkurugenzi wa
Oganaizesheni na Mafunzo aliwahi kumkana na anaendelea kumkana mpaka leo
hii, kiasi kwamba DEUS akienda pale Makao Makuu na akikutana na BENSON
huwa anamuambia kuwa asiwe anakuja Makao Makuu maana Chama kitachfuka
kwa kuonekana MALLYA pale.
Ni mtu ambae hafikiri sawasawa tu
ndie atakayeweza kusema USALITI huu hauna asili ya ndani na kuwa ni
hulka za viongozi wakuu wa Chadema kuendelea asili yao hiyo.
ANGALIZO:
Nitasema kama nilivyokutangulia kusema hapo awali juu ya hatma ya vijana ndani ya chadema, na leo nitasema hivi;
IKIWA HII MITI MIBICHI INATENDEWA HIVI., JE NINYI MITI MIKAVU
MTATENDEWA VIPI..? ambao hata makao makuu ya Chama hamyajui wala hakuna
anayewajua zaidi ya kuwatumia kwenye maandamano na mikakati yao.
Wakati mwingine tunajikuta tunalazimika kuyasema hata yale ambayo hatukupanga wala kufikiria kuyasema.,nimekuwa nikipigiwa simu na ndugu zangu na rafiki zangu ambao bado wako chadema wakiniuliza kwanini nimeamua kuyasema ninayoyasema, tena kwa lugha kama hii (inayobainisha), nami nimekuwa nikiwajibu kuwa "hivi haiwi faraja kwenu kuwa yupo mmoja aliyewahi kuwa mfano wenu anayetaka kuwaokoa na hatari yenye kuangamiza..?
Nadhani wengi katika wao wamenielewa lakini nitazidi kuwaeleweshaa wale ambao bado wanaubutu na kutu imejaa katika fikra na mitazamo yao.
Nimeeleza juu ya kukanwa na usaliti uliofanywa kwa LuDOVICK na nikaishia hapo, nikidhani kuwa itakuwa imetosha kuwafungua mawazo na kuwasaidia vigezo na vipambanuzi vya kuwawezesha kufanya maamuzi sahihi, maamuzi huru ambayo yatatokana na fikra zinazojitawala za kila mmoja katika upekee wake, si fikra za mkumbo (mob psychology) wala si fikra mgando na zilizosinyaa (dormant and dead reasoning), lakini nitawaongeza na hili la leo kuyaamsha mawazo hayo yaliyoganda na kuwafanya muishi kwa Uhai wa fikra Huru.
Napenda nianze kwa kuwaambia kuwa si mara ya kwanza kwa viongozi wa Chadema kuwakana wapambanaji wao na vijana waliokuwa wanajitolea hali na mali, wanajitolea nafsi na uhai kuipigania Chadema. Nitawaambieni juu ya wachache waliowahi kusalitiwa na kukanwa hadharani na vongozi waandamizi wa chadema kama ifuatavyo:-
i) DEUS MALLYA:
Kwa mara ya kwanza nakutana na DEUS ilikuwa ni mwaka 2007, nikiwa nimejiunga na chuo kikuu cha Dar es salaam, ambapo nilishakuwa mwanachadema kabla ya kuingia Chuo Kikuu, hivyo nilipofika chuo nilijaribu na kufanikiwa kukutana na vijana wapambanaji wa Chadema hasa wale waliokuwa wanatumikia Makao Makuu ndipo nilipokutana na DEUS MALLYA ambae alikuwa akitumika katika kuchapisha mabango na vipeperushi ambavyo vilikuwa vinabeba ujumbe wa Chadema na falsafa mbalimbali za Ukombozi ambazo chadema ilikuwa ikinajinasbisha nazo.
Nilipokutana na DEUS tulipanga na kupeana ushauri wa jinsi ya kueneza na kusambaza vipeperushi hivyo na hatimae aliniunganisha na JOHN MNYIKA ambae kwa kipindi hicho alikuwa ni Mkurugenzi wa Vijana na Afisa wake akiwa Marehemu Regia Mtema, ambapo DEUS alikuwa ni mtu wa karibu na maafisa hao, hasa MNYIKA.
Na walikuwa pamoja na kufanya mambo mengi, ninayoyakumbuka ni pamoja na;
a) Safari ya DEUS mallya kuelekea LIBYA katika kongamano la vijana akiwa muwakilishi wa vijanakutoka chadema chini ya usimamizi wa Mnyika.
b) Safari ya RUSSIA ambapo DEUS alinieleza kuwa alienda kwa mafunzo maalum.
Lakini Mnamo mwezi wa tisa (9) mwaka 2008, baada ya kutokea kwa kifo cha kutetanisha cha Mheshimiwa CHACHA WANGWE ambapo DEUS alikuwa ni Dereva na mshukiwa wa kwanza katika ajali ile, JOHN MNYIKA alimkana DEUS mara mbili, mara ya kwanza ni pale apohojiwa na maafisa wa polisi juu ya kijana DEUS akamkana, na mara ya pili alipokutana na vyombo vya habari kuzungumzia sakata hilo akamkana kwa mara ya pili.
Hata baada ya kesi ya DEUS kumalizika na kisha DEUS kuachiwa huru, nilizungumza na DEUS juu ya kukanwa na MNYIKA na DEUS alinijibu kuwa mshikaji alimuomba radhi na kumtaka asahau yaliyopita na DEUS alikiri kumsamehe na imebaki hivyo mpaka hivi sasa (hili anaweza kulithibitisha DEUS MALLYA mwenyewe kwakuwa yu-hai)
Lakini haikuishia kwa MNYIKA pekee bali hata BENSON KIGAILA ambae ni Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo aliwahi kumkana na anaendelea kumkana mpaka leo hii, kiasi kwamba DEUS akienda pale Makao Makuu na akikutana na BENSON huwa anamuambia kuwa asiwe anakuja Makao Makuu maana Chama kitachfuka kwa kuonekana MALLYA pale.
Ni mtu ambae hafikiri sawasawa tu ndie atakayeweza kusema USALITI huu hauna asili ya ndani na kuwa ni hulka za viongozi wakuu wa Chadema kuendelea asili yao hiyo.
ANGALIZO:
Nitasema kama nilivyokutangulia kusema hapo awali juu ya hatma ya vijana ndani ya chadema, na leo nitasema hivi;
IKIWA HII MITI MIBICHI INATENDEWA HIVI., JE NINYI MITI MIKAVU MTATENDEWA VIPI..? ambao hata makao makuu ya Chama hamyajui wala hakuna anayewajua zaidi ya kuwatumia kwenye maandamano na mikakati yao.
Friday, March 8, 2013
HILI NI BALAA LA SOGY DOGY
SOGGY DOGY THE INTERTAINER AFUKUZWA KAZI UHURU FM NA KUKIMBILIA RADIO ZA IRINGA
Mtangazaji maarufu wa radio uhuru fm iliyopo jengo la ccm dar es salaam anae fahamika kwa jina la soggy dogy amefukuzwa kazi kwenye kituo hicho cha radio na kukimbilia mkoani iringa kwaajili ya kutafuta ajira ya utangazaji radio zilizopo mkoani iringa,chanzo cha kukimbizwa na vilago vyake pale uhuru fm inasemekana ni ulevi kupindukia na kusahau ratiba za kazi na kualibu utaratibu wa vipindi vya radio hiyo, Tayali amekwisha pita radio iliyopo iringa kwaajili ya kufanya intervew ya kazi hata hivyo mameneja wa radio hiyo ijulikanayo kwa jina la country fm wamemtimua baada ya kugundua kama hana nidhamu ya kazi,Hivyo amekwenda kuomba kazi radio ijulikanayo kwa jina la ebony fm iliyopo hapo hapo irina na kukubaliwa kujiunga na wafanyakazi wa radio hiyo.........
UHURU KENYATA RAISI MPYA WA KENYA
MAMBO 50 USIYOYAJUA KUHUSU UHURU KENYATTA
- He was conceived in Samburu
- He was born in Nairobi
- He is left handed
- He worked for KCB at Kipande House
- He earned 600/- while working for KCB
- History was his favorite subject in High School
- Played on the wing for St Mary’s School rugby team
- He was the First Politician to concede defeat at the Presidential Level
- His favorite film is Shaka Zulu
- His favorite musicians are Bob Marley, Tracy Chapman and UB40
- He has 3 kids
- He is a practicing Catholic
- He wears specs while reading
- His favorite food is Nyama Choma
- His favorite authors are Tom Clancy and Vince Flynn
- His favorite TV SHOW’s are 24 and Spooks
- The first car he owned was an Alfa Romeo
- He used to personally collect horticulture for export in his pick-up
- He joined politics in 1989
- He campaigned for Matiba in 1992
- He first met his wife in 1978 in Mombasa
- His father passed away while he was in form four
- He has slept in St House, but it was never his home
- His father had 4 boys and 4 girls
- He worked at Burger King while in the US
- He fronted an Afro while in Uni
- His favorite beer is Tusker
- His favorite gadget is an Iphone
- If he could hang out with a band it would be UB40
- He favorite computer game is Tiger Woods Golf PGA Tour
- His favorite cartoon is The Flintstones
- His favorite comic is Archie
- His favorite color is Blue
- His favorite board game is backgammon
- The Kenya Economic Stimulus program was first launched under his leadership at the Treasury.
- The project that he has initiated that he would most like to see succeed is IFMIS
- He is the first finance Minister to create a loan facility for the JuaKali sector.
- If he could be any animal he would be a cheetah
- His pets are both a Great Dane and Chihuahau
- He has retained his first driver and secretary to date
- His favorite Ministry that he has worked in is Trade
- He lost the first parliamentary election.
- He intends to retire at 60.
- He proposed to his wife in Karen, Nairobi
- He was suspended from school?
- His best friend is his wife Margaret
- Favourite bible verses are Psalms 23, and 137
- The world leader he would most like to meet is Fidel Castro
- The most influential person he has met to date is Nelson Mandela
- His greatest wish is to serve the people of Kenya
- See more at: http://www.nairobiwire.com/2013/02/50-things-you-did-not-know-about-uhuru.html#.dpuf
SASA NI UHURU KENYATA KWA WAKENYA
JAPO KUWA ODINGA ANANGUVU SANA LAKINI UHURU KENYATA AMEFANIKIWA KUMDONDOSHA MPINZANI WAKE.
huyu ndiye raisi wa kenya akipiga kura yake ya kujikubali mwenyewe MH UHURU KENYATA.
huyu ndiye raisi wa kenya akipiga kura yake ya kujikubali mwenyewe MH UHURU KENYATA.
Thursday, March 7, 2013
HILI NI BALAAA
sijui ni wapi tunaelekea.... misi kinondoni sijui ndo yuko kibiashara
zaidi au ndo ameamua tu kupiga picha za utupu... ila dada zetu hizo si
njia harari za kutafuta pesa zaidi ya kujishusha thamani... ndo hayo
tuuuuuuuuu mengine tumuachie muumba
Wednesday, March 6, 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)




