Wednesday, September 10, 2014

KAULI ILIYOSAHIHI INATOKA WAPI?, JIFUNZE KUONGEA MAMBO SAHIHI


FIRST DRAFT.
Maamuzi yoyote kabla ya kufikiwa ni lazima kuna kauli mbalimbali zinatolewa ili kufikia lengo mahususi,     
Kutoa kauli ni jambo kubwa sana ambalo linahitaji umakini mkubwa sana, kwani maneno yako yanaweza kuleta mabadiliko kwako na kwa mtu ambaye unamueleza, Kwa hiyo kutoa kauli sahihi au kuongea maneno sahihi kwa wakati sahihi husaidia sana kuleta mabadiliko. kwa hiyo unatakiwa kuwa makini sana unapo ongea mambo mbalimbali.
Unapo ongea kuna vitu lazima utambue kuna mambo yakuzingatia, moja ya mambo hayo ni kuzingatia kama mada hiyo ni ya wazi au si ya wazi (public or not). 

Faida ya kuongea mambo ambayo ni sahihi husaidia mtu kuwa huru na kulinda utu na heshima na kukuza status yako.

Inatakiwa kuvi expose vitu ulivyonavyo ili watu wajue vitu ulivyonavyo japokua ni lazima ujue kutenga vitu ambavyo ni hidden na vitu vya wazi. 

Pia unapotoa taarifa yoyote jitahidi kutoa taarifa ambayo ni sahihi na kuepuka kauli ambazo si sahihi kwa sababu UKWELI DAIMA HUMUWEKA MTU HURU.

Epuka kutoa taarifa ambazo hazijathibitishwa, Watu wengi hupenda kutoa taarifa ambazo wamesikia kwa watu wengine jambo ambalo si sahihi. Kimsingi unaweza ukathibitisha kauli ambazo si sahihi na kujikuta unapotosha na kujenga taswira mbaya.

Asante Sana.
Awadhi Chang'a.
Geographer -Environmentalist.

Tuesday, September 9, 2014

USIRUHUSU MTU AJUE UDHAIFU WAKO.

FIRST DRAFT. 

Maendeleo ni mabadiliko chanya, Maisha ni safari ndefu ambayo inahitaji uvumilivu sana hasa kwa maisha ya kitanzania au Afrika kwa ujumla, vijana wengi wa Tanzania wamekua wakihitaji mafanikio kwa haraka zaidi jambo ambalo kimsingi si sahihi kwa sababu huwezi kufika juu kabla ya kuanza chini ambako lazima ujenge msingi imara utakaokuwezesha kusimama imara, kwa sababu mala nyingi usipojenga msingi mzuri kwa maana ya ( mwanzo au maandalizi) mazuri huwezi kuwa na maisha bora yaliyo endelevu, maisha bora endelevu ni maisha mazuri yasiyo na kikomo.

Kujenga msingi imara ni sifa kubwa ya kujenga maisha mazuri yasiyo na kikomo, watu wengi hufanya mambo pasipokua kujua namna ya kuyafanya kwa sababu wamekosa uelewa wa namna ya kuyafanya mambo hayo. 

Elimu ni muhimu sana kujenga msingi mzuri wa maisha endelevu japo watu wengi wanajua ELIMU NI LAZIMA UKAE DARASANI UFUNDISHWE NA MWALIMU, jambo ambalo kimsingi si sahihi, elimu yoyote uitakayo utaipata ukijituma kusikiliza au kusoma maandiko mbalimbali ya vitabu, majarida, kupitia mtandao / internet. 

Usisikilize maneno ambayo hayajengi (Maneno yenye mtazamo hasi) kutoka kwa watu , mara nyingi watu huwa na maneno yenye mtazamo hasi ambayo kimsingi hurudisha nyuma kama utayatafakari kwa undani zaidi, Kaa na ushinde na watu wenye mitazamo chanya ambayo inauelekeo wa maendeleo. Daima utajifunza mbinu nzuri ambazo zitakusaidia kujenga msingi wa maisha endelevu. 

Panga mipango yako kwa ufasaha na umakini mzuri.

Weka kumbukumbu za mipango yako ya baadaye, Mpango wowote ambao utakujia akilini mwako ni vizuri ukauandikia maandishi na kuyatunza kwa sababu unaweza ukasahau kama unamambo mengi ya kuyashughulikia. Kuweka kumbukumbu husaidia kutumia fursa zozote zitakazojitokeza mbeleyako, kwa maana unaweza ukapata fursa hapo baadaye ukashindwa kuzitumia fursa hizo kwa kuwa na mawazo na Fikra finyu. 
 

Usiruhusu mtu ajue udhaifu wako, kwani kama ni adui yako anaweza kutumia udhaifu wako kukushusha ki-fikra, kwa sababu kushindwa kwa mtu huanzia kwanza katika fikra ndipo kujidhihirisha katika mazingira halisi kwa sababu binadamu hufanya maamuzi kutokana na mambo yaliyomo katika fikra zake. IF YOU THINK SMALL YOU WILL BE SMALL IN YOUR LIFE AND VISE VERSA.

MIPANGO MIZURI YA MAENDELEO HUJA PALE UNAPOKUA KATIKA CHANGAMOTO ZA KIMAENDELEO, KWA HIYO NI VIZURI KUKUMBUKA KUANDIKIA MIPANGO HIYO KABLA HUJAKUTANA NA FURSA.  

mfano mzuri ni huyu jamaa hapa chini anahitaji msaada;
NAHITAJI USHAURI WENU GUYS. BE SERIOUS.
Juzi nilikua napitia Ukurasa wa Vodacom Tanzania nikakuta wameweka Tangazo lao la M-PESA lenye hiyo picha wakihamasisha watanzania wajiunge na Taasisi ya Utoaji mikopo iitwayo TANZANIA LOANS ambayo Vodacom wameingia nao mkataba. Hii Taasisi inatoa mikopo bila RIBA.
Nilisoma tangazo lao na kupuuzia nikawa najua ni matapeli hao wametengeneza page feki ya Vodacom nikaipotezea, sasa jana asubuhi nikakuta tena Tangazo katika ukurasa wa ukweli wa msanii Lady Jaydee nae kapewa dili la kufanya matangazo kuhusu mikopo ya TANZANIA LOANS pia sikua na uhakika nayo.
Usiku wa jana huo huo nikaona sasa Tangazo rasmi katika TV ilikua TBC1 walirusha Live hilo Tangazo katika Taarifa ya Habari za kibiashara wakatoa mpaka website ya Online mtu anaweza kujiunga na akapatiwa mkopo wa pesa na atarudisha mkopo wa pesa bila kua na RIBA halafu marejesho yao mazuri hawambani mkopaji.
Nikasema ngoja nijaribu kujiunga nione je? Niukweli wanatoa mikopo?? Nikafungua website yao jana usiku http tanzania-Loans.wapka.mobi nikasoma maelezo yote! Kuna fomu nikaikuta nikaijaza, nilipoijaza fomu nikapokea ujumbe kua nimefanikiwa kujiunga natakiwa kulipia ada ya Uanachama Tshs. 95,000 (ELFU TISINI NA TANO) ili maombi yangu ya mkopo yaweze kuidhinishwa nipatiwe mkopo. Nikawa naogopa kulipia nisije kutapeliwa bure!
Sasa leo Asubuhi kuna jamaa yangu kumbe nayeye ameshawahi kujiunga na wakampatia kweli mkopo nikamuelezea akanitoa hofu! Nikaona kwani elfu95 na kitu gani?? Ngoja nijaribu nikawatumia elfu95 katika M-PESA wakanitumia ujumbe kua wameipokea pesa nisubirie ndani ya dakika30Nikasubiria, kweli wakanitumia mkopo kupitia M-PESA asubuhi hii ya leo muda si mrefu, niliomba mkopo wa Tshs. 3,000,000 (Million 3) hapo nilipo siamini friends.
‪#‎USHAURI‬: Nifungue mradi gani nina hizi Million Tatu, kwani nilikua sijajipanga nilifanya kama najaribu tu sikua na imani kama ntapata kweli huu mkopo nimejaribu wamenipa! Sijajua biashara ipi ambayo inalipa sana?? Please nisaidieni Mawazo yenu nawaomba! Utani tuweke kando nipo serious katika suala hili nahitaji ushauri wenu. Pia kwa yoyote ambae atahitaji kutembelea tovuti ya hawa jamaa wa mikopo, bonyeza hapa: http://tanzania-Loans.wapka.mobiNAHITAJI USHAURI WENU GUYS. BE SERIOUS.
Juzi nilikua napitia Ukurasa wa Vodacom Tanzania nikakuta wameweka Tangazo lao la M-PESA lenye hiyo picha wakihamasisha watanzania wajiunge na Taasisi ya Utoaji mikopo iitwayo TANZANIA LOANS ambayo Vodacom wameingia nao mkataba. Hii Taasisi inatoa mikopo bila RIBA.
Nilisoma tangazo lao na kupuuzia nikawa najua ni matapeli hao wametengeneza page feki ya Vodacom nikaipotezea, sasa jana asubuhi nikakuta tena Tangazo katika ukurasa wa ukweli wa msanii Lady Jaydee nae kapewa dili la kufanya matangazo kuhusu mikopo ya TANZANIA LOANS pia sikua na uhakika nayo.
Usiku wa jana huo huo nikaona sasa Tangazo rasmi katika TV ilikua TBC1 walirusha Live hilo Tangazo katika Taarifa ya Habari za kibiashara wakatoa mpaka website ya Online mtu anaweza kujiunga na akapatiwa mkopo wa pesa na atarudisha mkopo wa pesa bila kua na RIBA halafu marejesho yao mazuri hawambani mkopaji.
Nikasema ngoja nijaribu kujiunga nione je? Niukweli wanatoa mikopo?? Nikafungua website yao jana usiku http tanzania-Loans.wapka.mobi nikasoma maelezo yote! Kuna fomu nikaikuta nikaijaza, nilipoijaza fomu nikapokea ujumbe kua nimefanikiwa kujiunga natakiwa kulipia ada ya Uanachama Tshs. 95,000 (ELFU TISINI NA TANO) ili maombi yangu ya mkopo yaweze kuidhinishwa nipatiwe mkopo. Nikawa naogopa kulipia nisije kutapeliwa bure!
Sasa leo Asubuhi kuna jamaa yangu kumbe nayeye ameshawahi kujiunga na wakampatia kweli mkopo nikamuelezea akanitoa hofu! Nikaona kwani elfu95 na kitu gani?? Ngoja nijaribu nikawatumia elfu95 katika M-PESA wakanitumia ujumbe kua wameipokea pesa nisubirie ndani ya dakika30Nikasubiria, kweli wakanitumia mkopo kupitia M-PESA asubuhi hii ya leo muda si mrefu, niliomba mkopo wa Tshs. 3,000,000 (Million 3) hapo nilipo siamini friends.
#USHAURI: Nifungue mradi gani nina hizi Million Tatu, kwani nilikua sijajipanga nilifanya kama najaribu tu sikua na imani kama ntapata kweli huu mkopo nimejaribu wamenipa! Sijajua biashara ipi ambayo inalipa sana?? Please nisaidieni Mawazo yenu nawaomba! Utani tuweke kando nipo serious katika suala hili nahitaji ushauri wenu. Pia kwa yoyote ambae atahitaji kutembelea tovuti ya hawa jamaa wa mikopo, bonyeza hapa: http://tanzania-Loans.wapka.mobi

MIPANGO MIZURI YA MAENDELEO HUJA PALE UNAPOKUA KATIKA CHANGAMOTO ZA KIMAENDELEO, KWA HIYO NI VIZURI KUKUMBUKA KUANDIKIA MIPANGO HIYO KABLA HUJAKUTANA NA FURSA.
  
Asante sana.
Awadhi Chang'a.
Geographer & Environmentalist.