Saturday, March 22, 2014

HOTUBA YA MH RAISI DR JK YAZUA MJADARA

 
Watanzania wavivu sana kuchambua mambo au Hawasikilizi kitu vizuri au hawasikilizi kuanzia mwanzo hadi mwisho au inawezekana wangi wenu mlichelewa kuisikiliza hotuba kwa hiyo mmesikia baadhi ya sehemu na wengine wanasema ili waonekane wamechangia jambo na mwisho kabisa wengine ni washabiki wa vyama vya kisiasa bila kusahau wengine hawampendi raisi wao na kumtakia mema... hapana simaanishi wewe aaaah ni wengine tu... mheshimiwa DR jakaya Mrisho Kikwete amegusia mambo yote hajazungumzia jambo moja amechambua kila jambo kwa kutoa faida na hasara za kila jambo... sasa kwa kuwa wabongo wanajua kukuza mambo bhaas hawajaangalia ubora wa ile hotub kwa ujumla... usisahau kila kizuri kina kasolo.... YEYE AMEWAACHIA KAZI WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA KWA KUWAHUSIA WAJUMBE MAMBO MENGI LICHA YA TOFAUTI ZAO ZA KIDINI, KISIASA, WATENGENEZE KATIBA ITAKAYO STAWISHA DEMOKRASIA MAENDELEO, UMOJA N.K... PIA ALISISITIZA KWAMBA KILA MJUMBE AWE NA MSIMAMO WAKE NA ASISIKILIZE NA KUAMULIWA NA MTU... KWA HIYO MHESHIMIWA RAISI DR JK AMEWAPA UHURU WA KUJIAMULIA MAMBO YAO WENYEWE HATA KAMA NI SERIKALI TATU... NA MWISHO ALITOA MSIMAMO WAKE WA MFUO WA SERIKALI MBILI KWA KUTOA ATHARI YA KUZALIWA TAIFA JINGINE LA TANGANYIKA... kwa hiyo kwa mantiki hiyo kutakua na serikali ya tanganyika inayomiliki lasilimali zake, serikal ya zanzibar inayomiliki lasilimali zake na serikali ya tatu ni serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania ambayo kimsingi inategemea mchango kutoka serikali ya tanganyika na zanzibar... sasa ikitokea serikali hizo mbili zikgoma kuchangia uendeshaj wa serikali wa jamuhuli nini kitachotokea... ina maanisha serikali ya jamuhur ambayo inamiliki vyombi vya ulinzi na usalama itashindwa kuwalipa madai yao na kusababisha ugomvi na mapinduzi ya jeshi na vita ya wajesh na wananchi pia Mh DR JK aliendelea kwa kutoa mifano ya migogoro mbali mbali ya kisiasa ya nchi nyingi ambayo imesababishwa na mifumo kama hii ambayo wananchi wanataka iwe mfano taifa kubwa kama urusi pia lilibomolewa kwa namna hii hii kwa sababu raisi wa serikali ya jamuhuli ya muungano anakosa nguvu kwa muundo huu... vile vile bada ya kufa kwa muungano watanzania walioungana kidamu mtawaambia nn eti wewe sio mzanzibar basi ondoka hapa kahame uende kwenu wee MENGI YALIONGELEWA...KWA KWELI ANASTAHIRI PONGEZI KWA HOTUBA NZURI AMBAYO AMETUMIA MDA WAKE KUANDAA KWA AJIRI YA UFUNGUZ WA BUNGE MAALUM. AFU ALIKUWA MFANISI SANA KWANI HAJASOMA AMEITOA KICHWANI MWAKE NA KWA HILO ANAKAMILISHA USEMI ULE USEMAO YEYE NI DAKTARI ALIYE BOBEA KATIKA KUTATUA MIZOZO YA KISIASA...

No comments:

Post a Comment