HAPA AY HAPA FA WAKISHUKA BONDENI SOUTH AFRICA
Tukio hilo limewatokea Mwana F.A akiwa na swahiba wake A.Y baada ya kufika bondeni kwa ajili ya show ambapo wamepekuliwa kupita kiasi
Mwana F.A hali ilimshinda ikabidi aanze ku-share na marafiki zake kwenye twitter kuhusu mambo yaliyowakuta huko bondeni.
Hizi ni baadhi ya caption za Mwana F.A na watu wengine baada ya tukio hili kutoke.
Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Labels:
AY